Lodge nzuri Morogoro

Lodge nzuri Morogoro

steven13

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
352
Reaction score
195
Habari

Friends naombeni msaada wa Lodge/hotel nzuri na iliyo kwenye mazingira tulivu na safi mkoani morogoro.Bei kati ya elfu 25 mpaka elfu 40 (25,000/= mpaka 40,000/=)

MREJESHO

Asanteni sana wana JF nimefika lodge inaitwa SAGAMA maeneo ya msamvu kwa nyuma,kwakweli ni nzuri na bei ya EXECUTIVE room in elfu 40.Best rooms nimependa sana!
NB;msamvu kwa nyuma kuna lodge nzuri sana kazi kwako mteja tu
 
25,000/=PAYO lodge hutojuta kamwee maisha yako yoteee! Baada ya flomi kwa mbele xax!
 
Kule nyuma ya stand ya Msamvu kuna lodge nyingi sana mtaa mzima ni lodge

Mimi nashauri uende Lyamungo ,au Gwami .Au kama vipi nenda mjini kuna moja inaitwa Rombo ni nzuri sana
 
Ipo Msamvu upande wa kushoto karibu na stand kama unaenda Dodoma ni Hoteli kama ghorofa 5 kama sijakosea ni karibu na kilipokuwa chuo cha Tanesco siku hizi Chuo Kikuu cha Kiislamu
Asante sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom