Loan board vipi tunawasubiri

Loan board vipi tunawasubiri

Bratherkaka

Senior Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
101
Reaction score
10
Daah! Baada ya kupelaka birth certificate na matokeo ambayo tulikuwa tuma miss..hadi Leo tuko depending au ndo tumekosa..wakati kweny vya habari wanasema watu wote tumepata...???
 
Mara ya mwisho nilipopima uzito nilikuwa na kilo zangu 56kg Jana nimeenda hospitali kupima nimekuta Nina kilo 50kg yaan hapa nilipo daah!!!
 
Mara ya mwisho nilipopima uzito nilikuwa na kilo zangu 56kg Jana nimeenda hospitali kupima nimekuta Nina kilo 50kg yaan hapa nilipo daah!!!

Hivi watato kweli au ndo tumesha katwa
 
Back
Top Bottom