Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,206
- 1,151
- Thread starter
- #41
course gan?Sijui niahirishe mwaka maanake naona wanazingua
course gan?Sijui niahirishe mwaka maanake naona wanazingua
Ahirisha ukirudi unakuta tumeweka sheria mpya kuingia chuo bachelor uwe na division one ya tatuShikamoo bodi. Yaan madogo watoto wa masikin ni kiama
course ganSijui niahirishe mwaka maanake naona wanazingua
Nenda tu kasome usije ukategemea mwakani hawakawii kusitisha mikopo mwakaniSijui niahirishe mwaka maanake naona wanazingua
Education wewe?course gan
engineeringEducation wewe?
Umepata mkopo? Au? Na majina nimeona yapo 1204 je kuna uwezekano wa kutoka na ya kwetu ambao hatujapataIrrigation engineering

Second batch tusubiriUmepata mkopo? Au? Na majina nimeona yapo 1204 je kuna uwezekano wa kutoka na ya kwetu ambao hatujapata
Daaah second batch lini?Umepata mkopo? Au? Na majina nimeona yapo 1204 je kuna uwezekano wa kutoka na ya kwetu ambao hatujapata
Soon..Daaah second batch lini?
mm 2nd batch sijapata,,ngoja waje wengine kama wamepata..Hivi kuna wanafunzi wa SUA waliochaguliwa kwenye second batch lakini wamepata mkopo kwenye first batch?
second batch ya Sua kwani imetoka??Hivi kuna wanafunzi wa SUA waliochaguliwa kwenye second batch lakini wamepata mkopo kwenye first batch?
kweli kabisa.Sehemu kubwa ya kozi za SUA ni priority kwenye mikopo. Tutegemee sehemu kubwa iliyobaki watapata kwenye second batch.
Mkuu unaangaliaje %Yaaah,wawili 100%
mfano tuition fee ni 1263000 na umepewa 1260000 chukua hiyo 1260000/1263000 × 100 asilimia utakayopata imekua same applied koteMkuu unaangaliaje %
SUA selection second batch ilishatoka kitambo! Ila makopo second batch ndiyo bado.second batch ya Sua kwani imetoka??