Kwan ulikataliwa kuapply? Mbona wenzio wamepatasi kheri wale wenye tatu advance waaruhusiwe ku apply degree kama ni mikopo yao wasitugawie
Udsm wamebndkaa cafeteria mchana huuUdsm Vipi mbona hamna kiasi
Mbona ya COHU na COSS hamna?Udsm wamebndkaa cafeteria mchana huu
Pointsi kheri wale wenye tatu advance waaruhusiwe ku apply degree kama ni mikopo yao wasitugawie
hahahahaaaaaaaaa umenchekesha mkuuI smell something fishy in this government
St matthew na Abbey schoolsHao wawili wa kwanza wamewakosea nini bodi
Oyo we umepata daaah naona hzo mean test grade mm simo na sijajua!ngoja tusubiri tujue hatma
cjapata nasubir 2nd batch maana course za priority kama BVM hayupo hata mmoja so nasubir 2nd batch itokee.sio kwamba ukikosa first batch huna vigezo!hapana..ni zoezi endelevu kwa hiyo ni kuvuta subra tu.Oyo we umepata daaah naona hzo mean test grade mm simo na sijajua!
hujaweka nauli ya kutoka jkt kuja kuapply...Huu ni Uhuni Wa Kupindukia!! Habu Angalia Hii → Gharama za kuomba Mkopo:
Application = 30,000
Internet = 2000
Passport = 5000
Mahakamani = 20,000
Ofisi ya Kijiji = 10,000
Printing = 5000
Bodaboda = 2000
Ems = 13100
JUMLA = 87,100
Halafu Mkopo Unapewa →→ 77,100/=
Aisee hapa tunaisoma namba....