Loan Allocations for SUA First Year Students in Academic year 2016/2017

Loan Allocations for SUA First Year Students in Academic year 2016/2017

naona hayo niya f6 pekee, au kuna diploma ameona jina lake..?
 
Yaani mtu anapewa meal and accommodation 45000 kwa mwaka?. Sasa sibora angekosa tu hiyo 45000, ingawanye kwa semister 2.Kila semister wampe 22500 kweli hii ni serikali ya wanyonge.

Tulichagua kazi za viwandani tukaacha elimu hatuna wakumlilia.
 
ngoja tusubiri tujue hatma
wizara ya elimu ivunjwe tu maana haya madudu sasa ni tishio hao wakina taifa jipya panya road watapunguaj tuna tumaini vita kuja vikundi vingine hatalishi zaidi hivi hii imekaaje kwa hawa wadogo zetu wenye EEE mana ata diploma hawafai
 
Mhhhh!!!!!!!!!! kimwendokasi zaidi ,,,,huu ubahili umezidi, eti boom 45,150/= masikini
 
Daaah boom 45,000 kwa mwaka kweli??? Sio haki hata kidogo
 
Back
Top Bottom