Rashidi7 JF-Expert Member Joined Jul 25, 2018 Posts 612 Reaction score 212 Oct 19, 2018 #1 Habari!! Niende moja kwa moja kwenye kiini cha mada ambayo inakuja kwa mtindo wa swali,He huchukua mda gani toka kutangazwa kwa majina hadi kujua allocation yako ya mkopo maana siku zinaenda na hakuna jipya kwenye accounts.
Habari!! Niende moja kwa moja kwenye kiini cha mada ambayo inakuja kwa mtindo wa swali,He huchukua mda gani toka kutangazwa kwa majina hadi kujua allocation yako ya mkopo maana siku zinaenda na hakuna jipya kwenye accounts.
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,700 Reaction score 71,106 Oct 19, 2018 #2 Ngoja na mimi nisubiri jibu
Mhafidhina07 JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 3,652 Reaction score 5,134 Oct 19, 2018 #3 Huwa ni punde baada ya majina kutoka mfn Lisa ila mwaka huu sijajua mipango wao.
hajhmamba Member Joined May 15, 2018 Posts 29 Reaction score 15 Oct 19, 2018 #4 Wafanye haraka tujue watu tunapresha kishenzi
prync Member Joined May 27, 2015 Posts 38 Reaction score 6 Oct 19, 2018 #5 Ivi majina haya ya mkopo yametoka kulingana na selection round 1 na 2 au yote hadi 3
Mbonea mweta Senior Member Joined Sep 4, 2018 Posts 140 Reaction score 40 Oct 19, 2018 #6 sina uhakika but nahisi mpaka jtatu itakuwa released
R Richiethegemini Member Joined Oct 31, 2017 Posts 64 Reaction score 32 Oct 19, 2018 #7 TCU nawo wanazengua tu wanasema tuconfirm codes zenyewe hawatumi paka sasa
M machonoo New Member Joined Oct 21, 2018 Posts 4 Reaction score 3 Oct 23, 2018 #8 jaman hizo % bado tu?
Obby18 JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 212 Reaction score 172 Oct 23, 2018 #9 Richiethegemini said: TCU nawo wanazengua tu wanasema tuconfirm codes zenyewe hawatumi paka sasa Click to expand... Hivi ukienda ofisin kwao vp wanasaidia au??
Richiethegemini said: TCU nawo wanazengua tu wanasema tuconfirm codes zenyewe hawatumi paka sasa Click to expand... Hivi ukienda ofisin kwao vp wanasaidia au??
Pain killer JF-Expert Member Joined Aug 15, 2017 Posts 14,365 Reaction score 21,740 Oct 23, 2018 #10 Unaweza kujikuta umepewa boom tuu