Elections 2010 Lo! Mama Salma na kampeni za shuka kwa shuka!

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
Kwenye gazeti la Nipashe , 27 Aug. 2010 first lady, Mama Salma Kikwete, amewaomba wanawake wafanye kampeni ya kuwashawishi watu waipigie kura CCM nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na ikibidi shuka kwa shuka!

Sasa huyu mama ambaye ni mwenyekiti wa WAMA anawaambia nini akina mama? Yaani watoe unyumba kwa ajili ya kura? Sophia Simba ni board member wa WAMA na aliwahi kushauri kunyima unyumba waume wa wanawake wasiokuwa wa CCM. Mbona kama wanalugha moja! Hivi WAMA ni taasisi ya CCM?
 
Kwenye gazeti la Nipashe , 27 Aug. 2010 first lady, Mama Salma Kikwete, amewaomba wanawake wafanye kampeni ya kuwashawishi watu waipigie kura CCM nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na ikibidi shuka kwa shuka!

Sasa huyu mama ambaye ni mwenyekiti wa WAMA anawaambia nini akina mama? Yaani watoe unyumba kwa ajili ya kura? Sophia Simba ni board member wa WAMA na aliwahi kushauri kunyima unyumba waume wa wanawake wasiokuwa wa CCM. Mbona kama wanalugha moja! Hivi WAMA ni taasisi ya CCM?


Hii kali watu wa shuka kwa shuka utawaona tu Sophia's members group
 
attachment.php
 
Ukisikia ufinyu wa kufikiria ndio huu yaani uswahiliuswahili huko Ikulu. Sasa unadhani ukininyima unyumba kisa mie sio mwanaCCM ndio umenibadilisha si naenda sehemu nyengine natafuta mwanamke wa kuishi naye tu asiejali siasa. Yaani aisee
 
shuka kwa shuka ndio nini kwa kiswahili cha kawaida? :confused2:
 
shuka kwa shuka ndio nini kwa kiswahili cha kawaida? :confused2:

Unyumba kwa kiswahili cha mtaani!!! Eti upige kura baada ya kupewa unyumba WTF si naenda Joly au Salender bridge kununua samaki wako wengi tu.
 
Mhh nakumbuka marehemu Ac aliwahi mwambia mama hoja zako hazina mvuto :smile-big::smile-big:
 
Unyumba kwa kiswahili cha mtaani!!! Eti upige kura baada ya kupewa unyumba WTF si naenda Joly au Salender bridge kununua samaki wako wengi tu.
Toba hii kauli imetoka kwa first lady. Hivi first lady tafusili yake kwa kiswahili nini?
 
Ndio uwezio wa kufikiri first Lady wetu,

Mungu waondoe waswali ikulu
 
Hii ni literal,ana maana wafanye kampeni kwa bidii na kumfikia kila mtu.Simple!
 
Hii ni literal,ana maana wafanye kampeni kwa bidii na kumfikia kila mtu.Simple!

literal maana yake kama ilivyo au maana halisi ya maneno - basic meaning. Labda unasema ni semantic/ idiom/ saying or figurative! Na kama ni figurative maanake ni kitandani na pia jinsi sentensi yake ilivyo - nyumba kwa nyumba, chumb kwa chumba, ikibidi shuka kwa shuka!!!!!!
 
Back
Top Bottom