Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
- Thread starter
- #21
....aaaaahhh bana, hebu jichunguze kilichokupelekea ndoto hiyo,
lazima kuna issue uliizungumzia siku hiyo kuhusiana na mambo ya
ujenzi na kusalitiwa,....
BTW, #Lucy hajambo?...aisee, eti "Kaka Mentor!"
Mkuu Mbu shhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh #kimyakimya .
Kuhusu hilo la ndoto ngoja nitafakari nitakuja na mrejesho baadaye!
Heaven on Earth...kwanza salamu from 'ur man' anauliza sikukuu yote hata sms!??? #mjumbeHauawiI like your stories..huwa hazinichoshi kusoma............
naona ulikuwa na mahasira na Dr Chrispine Lol......we wajua jirani halafu
mafundi wanakwambia ni mtu na mmewe,bora iishie tu ndotoni kwa kweli........
Lol..Dr. Chrispine anahitaji kuadhibiwa anachukua vibinti vichanga hadi wake za watu....hadi ndotoni!!!!!!!!!!!!!!!
naona ushauri wa Moderator kivuli umefanya kazi.......
I can see some changes LOL..
What is this about mke wetu?
Last edited by a moderator: