LLB (Elimu ya Watu Wazima)

LLB (Elimu ya Watu Wazima)

Ngoja ni-log off, mi nilidhani issue hi ya kweli kaka, nilianza hadi kukuonea huruma kabisa na i went further, nikaanza kumchukia kabisa mkeo na wanawake wote kwa ujumla wake, umenifanya nitende dhambi ya bure kabisa, Please nitake radhi Mentor, vinginevyo mara baada ya wewe kuoa tu, lazima nimtafute mkeo. Joke
 
umelog in?
Ngoja ni-log off,
mi nilidhani issue hi ya kweli kaka, nilianza hadi kukuonea huruma
kabisa na i went further, nikaanza kumchukia kabisa mkeo na wanawake
wote kwa ujumla wake, umenifanya nitende dhambi ya bure kabisa, Please
nitake radhi Mentor, vinginevyo mara baada ya wewe kuoa tu, lazima
nimtafute mkeo. Joke
 
Hujui ngozi ya kung'aa??



Ni kweli hutokea ndiyo maana na mm nkakemea nilipoamka.

Haha abt shombeshombee.....unantafutiankesi naona.



Ahahahahaha mkuu umenichekesha kwenye pantoni..lol.




Heheheh...wqtu wengine sijui huwa mnawaza nn kakweli....
Reminds me of vifipisho vya watu hawa: Heaven on Earth - hoe
Asprin - babu as
Kongosho - koni. Mh!!!
Eti Heaven on Earth, kwanini umeiLIKE hii post???
 
Last edited by a moderator:
Fatma!!! Jina zuri sana (mama yangu)
Fatma wengi wanatabia nzuri sana tu.....sasa nkawa najiuliza huyu fatma wa Mentor ni fatma gani? Atakua tu fatma msitu lol....kumbe ndoto hehehehe...
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ndoto za ma barchelor tunaotaga kumegewa tu,ndo maana jinsi umri unavyoenda unakuwa chronic barchelor
 
Ngoja ni-log off, mi nilidhani issue hi ya kweli kaka, nilianza hadi kukuonea huruma kabisa na i went further, nikaanza kumchukia kabisa mkeo na wanawake wote kwa ujumla wake, umenifanya nitende dhambi ya bure kabisa, Please nitake radhi Mentor, vinginevyo mara baada ya wewe kuoa tu, lazima nimtafute mkeo. Joke
Hata mimi Nalog off kama Washawasha
 
Back
Top Bottom