LL.B 1st class holder

Am pretty sure hoja yako wameiona wakaichunia.

Hawa wanasheria wana kelele sana wakidhani wao tu ndo wamesoma vitu vigumu. Wakati vitabu vyao ni kama story za Shigongo tu.

aa sana hata labaratory hawaingii unasoma kitandani unafaulu
 
Umepita Law School? Kama hujapita nenda kwanza kafanye PGDLP halafu uone kama utarudi humu kijiweni. Maana kama una "first class na talented in legal practice" law school utafaulu at 1st Sitting.
 
I
Acha kukurupuka na takwimu zako za kichochoroni SAUT wanasoma kati ya masomo 7 na 10 kwa semester na si pingufu ya hapo. Sasa fanya mara semester 8 ndo ulinganishe na hivyo vyuo ulivyovitaja.
 

Ukiritimba tu wa UDSM.... sidhani kama 1st class ya LLB ni ngumu kiasi hicho...... kama ni ngumu mbona engineering, computer science, ds, socialogy, medicine (licha ya kuwa hawana ranked gpa) zinapatikana????? Kubaniana tu...
 

tundu lissu alikuwa mtundu wa nini? class au?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…