LL.B 1st class holder

acha uongo,dr migiro hakua na 1st class ila alikua the best female student kwa mwaka wao.

Kuna mamtu mabishi sana katika ulimwengu huu Kama hili lipigwa mpini, oohh sorry mpiga msuli
Kwanza migiro class la kina tundu alikua analiogopa sana
Vijana walikua wanampa shinda kwenye somo lake la law of torts
Kuna siku alienda kuwatega kina lissu class na kimini,kuna jamaa alimshika makalio
Walikua makalai ya kutosha
Ngoja nikutafutie no zao wapigie waulize
 
Hata huwa hufuatilii mambo UDSM kuna first class 4 tu,prof.majamba,prof.kabudi,dr.tenga,dr.migiro

Hv migiro anaweza toka na first class kulizid kembe Kama Mwakyembe,Warioba na Mvungi R.I.P
Kweli wewe mimba yako ilitungwa kwenye mkesha wa mbio za mwenge
 
Hv migiro anaweza toka na first class kulizid kembe Kama Mwakyembe,Warioba na Mvungi R.I.P
Kweli wewe mimba yako ilitungwa kwenye mkesha wa mbio za mwenge

Wewe si umesoma SAUT ? chuo cha kata ,chuo cha wasio na akili
 
Hahahahah mnaosoma vyuo vya private hamna akili wengi! DIPLOMA YA LAW YA MZUMBE ni bora kuliko degree ya sheria ya SAUT

Hujajibu hoja,wewe uliesoma public university kwenye life unapanga foleni!!!!
 

Am pretty sure hoja yako wameiona wakaichunia.

Hawa wanasheria wana kelele sana wakidhani wao tu ndo wamesoma vitu vigumu. Wakati vitabu vyao ni kama story za Shigongo tu.
 

umemaliza mkuu... usipoeleweka hapa tena basi watakuwa wana vichwa vgumu na wabishi kama wajumbe wa katiba.
 

kuna kijana anaitwa Sauel Gerald alimaliza pale UDSM 2012 1st class LLB amebaki kufundisha pale UD hivo siyo kweli kwamba 1st class ziliishia 80's.
alikuwa Class mate wangu Ilboru pia
 
[h=2][/h]"Education is what remains after one has forgotten what one has learned in school".Albert Einstein

Whatever score you had in your previous studies,nowadays potential employers will like to know what can you offer them.
They can not rely completely on you past scores to offer you a job.
 
hongera ila nakushauri jiunge na vijana wengine kama sita mfungue kituo cha msaada wa kisheria , pia mnaweza kutoa njia hii online kupitia mitandao

Dogo, fanyia kazi huu ushauri ni mzuri na usipoufanyia kazi leo utaufanyia kazi miaka 20 ijayo so the earlier the better. Anza sasa ungali kijana uoate uzoefu na inalipa sana, sana sana.
 
TUMAINI NACHO UTAZUNGUMZIA WANATOA SHERIA?

Kitu rahisi tu icho chuo kiko kibiashara zaidi

na kuhusu Tindu Lissu

biograph yke ina onyesha alipata Upper Second.

Ni ajabu la 8 la dunia baada ya maajabu 7 1st Class wa sheria anaomba ajira Jamii Forum.

Iko wazi tu kwamba 1st Class wote huwa wanabakizwa chuo kufundisha.

Km hata chuo chako cha Matumaini hakija kubakisha basi ndo ujue iyo First class yako ni Tasa haizai
 

Hahahahah
 

Ebwana huyo Majamba Uprofesa Wake Yaonekana Kapata Kwa Umahiri wa Kujamba Jamba Hovyo au????????
 
Duh...sasa sijui tumuamini nani.

Niamini Mimi Niliye na Zero Class!!!!!!! Inaanza Namba Sifuri Kisha Inakuja Namba Moja Hivyo GENTAMYCINE Ndiyo Kichwa Kushinda hata Wote hao Mliowataja. Hapa Serikali bado Haijaruhusu Bange ( Bangi ) Sijui Wakiruhu Nitakuwaje:smiling:
 
First Class LLB UDSM mmeisahau ya Mutula Kilonzo, Former Constitutional and Legal Affairs Minister wa Kenya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…