Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
My Lizzy is fine with Bajaj
ana kofia ya pikipiki
source: saint ivuga.
Wewe theory yako ya mwaka 47! Kuwa gari ni utajiri! Wanawake wanaojitambua (wa beijing) hawashobokei cha mtu awe buzi, mume ama bf! Imani ni kuwa kama wewe unaweza kupata hiyo gari basi na mwanamke nae hana kizuizi cha kuipata. Kama walivyo wanaume wanaopenda mteremko na wadada nao wapo.
...mkuu bora anayehongwa kidogo namuona matawi na ni mjanja...ila kadi ya gari hakikisha unayo orijino...Kwa taarifa yako Beijing ndio wanaoshoboka kupita kiasi.
kwanza ubeijing mara nyingi ni ushamba fulani. na hawa ndio uhongwa magari na wazee kwa kisingizio cha maendeleo na usawa.
Hata hivyo washamba wa magari hasa hasa ni wanafunzi, baamedi na vibinti vilivyoajiriwa saluni.
ukifuatilia zaidi ni zile character za kujipaka mkorogo, siyo real women.
haswaa Mwanmke mjanja hawezi akashobokea gari, mwanamke mjanja hua anajishughulisha na ujasiriamali na kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kujiendeleza kielimu...
Mwanamke mshamba ni vile vitoto vya Chuo tena vinavyotoka vijiji.. a.k.a kuku wa kienyeji
Bagah bana. . .haya asante kwa kutumia jina langu, ila siku nyingine utalipia!!
Nwy wanaoshoboka na magari wapo sana tu wala sio siri ila huwezi ukakuta mwanamke mjanja kwenye kundi hilo. Kwa maana nyingine hiyo ni aina nyingine ya ushamba!!
Bagah bana. . .haya asante kwa kutumia jina langu, ila siku nyingine utalipia!!
Nwy wanaoshoboka na magari wapo sana tu wala sio siri ila huwezi ukakuta mwanamke mjanja kwenye kundi hilo. Kwa maana nyingine hiyo ni aina nyingine ya ushamba!!
kwani nakula au nafanya na gari?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????kwani wanaangaliaga namba hawa? kofia la pikipiki ukiwa nalo tu unabeba
eti lizzy umewapa nini hawa watu wa jf?
Wanaume wanaowaingia wanawake wa gia ya magari na pesa pia wana mapungufu.................according to me
Hujambo kwanza?Mtu akijua upungufu/mapungufu yako lazima ayatumie kwa faida yake. Kwahiyo mi naona hao wanaume wako sawa tu, isipokua pale wanapomfuata mwanamke asieshoboka kwa gia hiyo hiyo, au wanapoamini kwamba kwa gari/pesa wanaweza wakampata mwanamke yeyote yule.
Hujambo kwanza?
Juzi tulikuwa tunasafiri kidogo halafu nikawa kwenye gari na mama mmoja hivi akawa anatupa stori ya rafiki yake mmoja wa kiume ambaye sijui kasoma sana na ana hela sana lakini kila siku analizwa na wanawake mpaka katika age ya 37 hajaoa. Mi nikacoment kwamba tabu inawezekana anapowataka hao wanawake wake anaenda katanguliza hela zake na elimu yake kwahiyo hata hao anaowapata wanakuja kwa stail hiyo so wanakuwa na watu wao wanaowapenda sincerely, dah aliniwakia mpaka nikawa mpole kwasababu tu naye nilimgusa coz ana degree tatu na kaachika siku nyingiiiiii
upungufu uko wap hapo mkuu...hiyo ndio zana yake acha atumie...kila mtu anastyle yake yakupata ile kitu...Wanaume wanaowaingia wanawake wa gia ya magari na pesa pia wana mapungufu.................according to me