CCM hata angesimama nani,na kwa rekodi gani nzuri ama matendo gani mazuri siwezi kumpa kura yangu.
Kwa maneno mengine watu wanasema,kuwa na aleji(alergy). Nina alergy na CCM hata kama angesimama nani jamani.
Siwezi kuipigia kura CCM kuanzia diwani,mbunge hadi Rais,siwezi. Mtanisamehe mlio badili misimamo yenu kwa sababu Magufuli kapitishwa na CCM kupeperusha bendera ya urais. Kwangu mwiko. Nataka mabadiliko.
Kwa maneno mengine watu wanasema,kuwa na aleji(alergy). Nina alergy na CCM hata kama angesimama nani jamani.
Siwezi kuipigia kura CCM kuanzia diwani,mbunge hadi Rais,siwezi. Mtanisamehe mlio badili misimamo yenu kwa sababu Magufuli kapitishwa na CCM kupeperusha bendera ya urais. Kwangu mwiko. Nataka mabadiliko.