Larusai Mux
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 980
- 280
Mabadiliko uyapate kwa Mbowe anayekipangishia chama chenu ofisi nyumbani kwake huku akibugia ruzuku yote. Wewe hakika ni mwehu au mkewe MboweCCM hata angesimama nani,na kwa rekodi gani nzuri ama matendo gani mazuri siwezi kumpa kura yangu.
Kwa maneno mengine watu wanasema,kuwa na aleji(alergy). Nina alergy na CCM hata kama angesimama nani jamani.
Siwezi kuipigia kura CCM kuanzia diwani,mbunge hadi Rais,siwezi. Mtanisamehe mlio badili misimamo yenu kwa sababu Magufuli kapitishwa na CCM kupeperusha bendera ya urais. Kwangu mwiko. Nataka mabadiliko.
Hakika nyani haoni kundule. Ufisadi walioufanya chadema kwa mwaka mmoja tu, CCM ni miaka 30Sisiemu kujinasua kwenye ufisadi ni sawa na semi trela liliobeba contena la sment af likazama kwenye tope
Ata yangu Mkuu ukawa tu.." Hatudanganyiki kizembe....
Mabadiliko uyapate kwa Mbowe anayekipangishia chama chenu ofisi nyumbani kwake huku akibugia ruzuku yote. Wewe hakika ni mwehu au mkewe Mbowe
mmejiandikisha lakini?....
Hakika nyani haoni kundule. Ufisadi walioufanya chadema kwa mwaka mmoja tu, CCM ni miaka 30