Liverpool lose hope

Liverpool lose hope

Jerick06

Member
Joined
May 2, 2014
Posts
51
Reaction score
15
Maumivu ni makali kabisa nimeyapata, sijui lini ntabeba EPL au UEFA Mwakan sijui. Sijui liver ifanyeje?
 
Maskini ndo mpira ila kwa wengine ndo furaha yao bado man city nae anafungwa mechi ya mwisho.
 
aiseee, yaani acha tu, inauma sana, tuli-invest sana, nashangaa goli 3 zinarudi kiubwete
 
Liverpool haina tofauti na Yanga. Unaongoza tatu bila, katimu kanachomoa kama kametumwa.

Inauma sana keimamae.
 
pambufu zenyu liverfool, mmepatwa na ugonjwa wa arsenalisis. kha afadhali nijibakie zangu nafasi yangu ya 4. pheeew
 
Hizi zitachomwa moto
 

Attachments

  • 1399350377191.jpg
    1399350377191.jpg
    78.1 KB · Views: 139
Sijawahi kuomba dua mbaya lakini sasa inanilazimu "MUNGU WANGU NAKUOMBA, MAN CITY WAFUNGWE MECHI ZOTE ZILIZOBAKI NA LIVERPOOL ASHINDE MCHEZO ULIOBAKI (Na sisi mwaka huu tuonje furaha).....AAAMEN.
 
Liverpool haina tofauti na Yanga. Unaongoza tatu bila, katimu kanachomoa kama kametumwa.

Inauma sana keimamae.

Watu wanaiita "Looser fools" kwa kweli pale wamechemsha ndo maana dogo kalia. Nasikia kaapa anahama mara moja most likely kwenda ManU ambao katu hwafanyagi ujinga huu hadi alipokuja sijui MOYEWE ambaye ameisha timuliwa sasa
 
aisee huyu kocha mim simuelewi kabisa .nikweli katupa mafanikio ila kiukweli bado tunatatizo sana kwenye tim yetu maana kikosi chetu ni chakawaida sana.
hata hivyo wachezaji wamejituma sana mpaka kufikia hapa tulipo haiwezekani tukautema ubingwa zikiwa zimebakia game 3 tuu media karibia zote ziliipa credit liver yakuubeba ubingwa
lakini tunakuja kufanya upuuzi dk za mwisho tulikuwa tumebakiwa na game 3 tuu tutawazwe kuwa mabingwa lakini kilichotokea nifedheha sana aisee.

marekebisho makubwa sana inabidi yafanyike kikosi inabidi kisukwe upya aisee hasa kwa upande wamabeki mechi nyingi tumekuwa tunashinda vizuri kwakipindi cha kwanza inapofika kipindi cha pili tunaanza kufungwa kijinga sana.nakugeuka kuwa watumwa
 
Kwani na nyie ni kama Chelsick? Mnajitangazia U-champion before final whistle? Ndo matokeo yake mtalia na kusaga meno
 
Kwani na nyie ni kama Chelsick? Mnajitangazia U-champion before final whistle? Ndo matokeo yake mtalia na kusaga meno

Sizinga unataka kusema Arsenal hawakujitangazia ubingwa? Kumbuka heri ya waliojitangazia ubingwa dk za mwisho ambapo tipo zote zilipishana katika tatu City,Chelsea na LFC kwa Point chache sana na City walikuwa na Game mkononi, Arsenal mie huwa siichukii ila ukweli wao walijitangazia ubingwa nyuma ya December rudi kwenye Thred mjionee mlivyokuwa mkisema na mlikuwa mnaongoza kwa point 9 na mliiwacha LFC kwa Point karibia 12 kwa ujumla timu zote zikiwa nafasi ya kwanza inatangazia ubingwa lawama na malalamiko baadae heri LFC hawakuzuga wao walijipa matumaini ambayo hayakutokea so sema ukweli je nyie hamkujitangazia na wakati ilikuwa sio hata mwisho wa mbio? Ni Chelsea tu nafikiri ndio hawakujitangazia sababu Manager wao alikuwa anajaribu ku play zile mind games.
 
aisee huyu kocha mim simuelewi kabisa .nikweli katupa mafanikio ila kiukweli bado tunatatizo sana kwenye tim yetu maana kikosi chetu ni chakawaida sana.
hata hivyo wachezaji wamejituma sana mpaka kufikia hapa tulipo haiwezekani tukautema ubingwa zikiwa zimebakia game 3 tuu media karibia zote ziliipa credit liver yakuubeba ubingwa
lakini tunakuja kufanya upuuzi dk za mwisho tulikuwa tumebakiwa na game 3 tuu tutawazwe kuwa mabingwa lakini kilichotokea nifedheha sana aisee.

marekebisho makubwa sana inabidi yafanyike kikosi inabidi kisukwe upya aisee hasa kwa upande wamabeki mechi nyingi tumekuwa tunashinda vizuri kwakipindi cha kwanza inapofika kipindi cha pili tunaanza kufungwa kijinga sana.nakugeuka kuwa watumwa

Hakuna kulalamika kikosi ni cha kawaida tusiwe kama zile timu zinaolalamika wachezaji wameumia kwani wengine wananunuliwa kwenye timu kufanya nini? Wenzao wakiumia? KIkosi si chakawaida kipo sawa tu kujituma na kuiona danger ndio wanatakiwa wajue kazi yao uwanjani kitu kishapita hakirudi tena tuwape tu pongezi City na I hope Arsenal watashinda FA CUP sababu nampa sana Wenger heshima mtizame Wenger ndio Rogers anapotakiwa kuiga mfano wa beki tu beki wajirekebishe basi kama walivyojirekebisha wa Arsenal sio kulalamika lalamika hapa. Mambo ya sijui nani kaumia mtu mbovu uza sijui kikosi cha kawaida wanalipwa pesa wacheze football bwana.
 
Back
Top Bottom