silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,616
- 2,368
Wadau iwapo Liverpool watafungwa leo, basi itakuwa ni klabu ya kwanza katika historia ya EPL kuwa nje ya top 4 kabla ya new year, wakati krismas ilikua top of the table. Ikumbukwe pia klabu ambayo inaoongoza ligi wakati wa krismasi basi hua ndio bingwa, na klabu pekee ambayo ilikuwa top of the table halafu ikashindwa kuchukua kombe ilikua ni Liverpool mwaka 2009. Jee wataweza mwaka huu.?