Yanga tutakua tunaonewa na hawa marefa,inakuaje hzi timu ndogo zinatusumbua?tumetumia hela nying kusajili,usajili uliokua bora kuliko timu yoyote,lakini ndo hvo,droo 2,2mefungwa 1 tumewin 2,cjui na hii kma tutatoka,mbna mtani ajafungwa?hz ni hira za marefa na tff tu.