Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Mheshimiwa Batenga
Kapiga mavitenge yake hapa safi na nywele kazichana fresh, alafu kwa nini wanawake wanaweka nywele kama wanaume?
Anamsifu Mkuya kwa kujiamini, lakini anamshauri awe msikifu, nadhani kuna dalili za huyu dada kutokuwa msikivu, mtu wa pili sasa anazungumzia hili swala.
kawasifu Mwigulu Nchemba Madelu na Malima.
Kaanza kuponda baada ya kutoa sifa kwa mawaziri
Anadi ni makosa BRN kuiacha sekta ya Afya, hivi haimo kumbe? ma - CCM Bwana, si ndo yangeweka hii yakanunua zile bajaji na kupiga bao la kisigino faster, the dying are dead.
Anataka wanawake wapigiwe saruti kwa kazi ya kuzaa.
anasema hakuna vitanda vya kutosha japo kwa wazazi,
huyu mama hana amsha amsha kabisa, yeye kang'ang'ania wanawake waonewe huruma waonewe huruma, anaongea ujinga hapa, eti wanaume wajaribu kujifungua - this woman??
Anasema hili limemkaa rohoni sana, wakati watu kibao wameisha lizungumzia, na Mheshimiwa rais alisema atarilekebisha, sasa anakaa nalo rohoni kivipi, si ndio unafki huu.
Wanajeshi sasa.
anasema kuna jeshi la akiba, wako huko wastaafu, nadhani anazungumzia wapewe mshiko, anadai pensheni ni ndogo, walipwe kama mawaziri wakuu.
Kamaliza Mheshimiwa Elizabeth Batenga
Kapiga mavitenge yake hapa safi na nywele kazichana fresh, alafu kwa nini wanawake wanaweka nywele kama wanaume?
Anamsifu Mkuya kwa kujiamini, lakini anamshauri awe msikifu, nadhani kuna dalili za huyu dada kutokuwa msikivu, mtu wa pili sasa anazungumzia hili swala.
kawasifu Mwigulu Nchemba Madelu na Malima.
Kaanza kuponda baada ya kutoa sifa kwa mawaziri
Anadi ni makosa BRN kuiacha sekta ya Afya, hivi haimo kumbe? ma - CCM Bwana, si ndo yangeweka hii yakanunua zile bajaji na kupiga bao la kisigino faster, the dying are dead.
Anataka wanawake wapigiwe saruti kwa kazi ya kuzaa.
anasema hakuna vitanda vya kutosha japo kwa wazazi,
huyu mama hana amsha amsha kabisa, yeye kang'ang'ania wanawake waonewe huruma waonewe huruma, anaongea ujinga hapa, eti wanaume wajaribu kujifungua - this woman??
Anasema hili limemkaa rohoni sana, wakati watu kibao wameisha lizungumzia, na Mheshimiwa rais alisema atarilekebisha, sasa anakaa nalo rohoni kivipi, si ndio unafki huu.
Wanajeshi sasa.
anasema kuna jeshi la akiba, wako huko wastaafu, nadhani anazungumzia wapewe mshiko, anadai pensheni ni ndogo, walipwe kama mawaziri wakuu.
Kamaliza Mheshimiwa Elizabeth Batenga
Last edited by a moderator: