DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,820
Siku 11 za hatari na balaa kwa Simba.
Feb 05:Mtibwa vs Simba.
Feb 09:Mgambo vs Simba
Feb 15:Mbeya city vs Simba
mbeya site anakula 4 kama oljoro
mgambo anakula 3 kwa 0
Siku 11 za hatari na balaa kwa Simba.
Feb 05:Mtibwa vs Simba.
Feb 09:Mgambo vs Simba
Feb 15:Mbeya city vs Simba
Tupo wote.Mtibwa kwa mkopo
pole mkuu..hayo matokeo saa hizi ingekuwa dk 90 safi sana, uishe hivyo hivyo.Wakuu sitaweza kuwaletea Live niko sehemu mbaya, mtandao haushiki vizuri. Hadi sasa Mtibwa 1-0 Simba.
upo sehemu gani? bado sijaingia uwanjani.Wakuu sitaweza kuwaletea Live niko sehemu mbaya, mtandao haushiki vizuri. Hadi sasa Mtibwa 1-0 Simba.
Kweli mkuu.., mana usiende na ww kukaa pande hizo, netwk shida, tutakosa updates, mana mkuu Fidel80 naye yupo kimya.upo sehemu gani? bado sijaingia uwanjani.
mtibwa wameshaanza kukinukisha mapemaaaaaaaaaaaaaa sasa wakaze buti sio kuanza kucheza ulojo ulojo halafu dk 90 unaambiwa eti 4-1
salama mkuu, binafsi kitambo kdgo sijakuona jukwaani, kwema?Cc Moderator Dk 27:Mtibwa 1-0 Simba
mbona moja teyaritambwe leo anatupia hat tric
Pole mheshiwa, lakini haya matokeo ni sahihi kweli? Nani katupi goli?Wakuu sitaweza kuwaletea Live niko sehemu mbaya, mtandao haushiki vizuri. Hadi sasa Mtibwa 1-0 Simba.
tambwe leo anatupia hat tric
alikuwa amefichwa na jimama hili..salama mkuu, binafsi kitambo kdgo sijakuona jukwaani, kwema?