mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,385
- 680
- Thread starter
- #101
Anasema DAR inahitaji transformation,
anapöda NAPE na CCM imepagawa baada ya DAR kutekwa na CDM..
anapöda NAPE na CCM imepagawa baada ya DAR kutekwa na CDM..
Jitahidini huyo mbunge hatufai!! Hawezi hata kujua matatizo ya jimbo letu, yeye ni biashara zake basi.Nipo nami nawafungua kila napokutana nao,sema kazi ndo zinanibana.
Anasema alienda jela kwa hiari, na alifikiria kupindua nchi..
Anatoa historia ya mandela, katika kupigania ukombozi..
Anasema vijana wasiogope kufukuzwa chuo, kutetea haki zao..
Jitahidini huyo mbunge hatufai!! Hawezi hata kujua matatizo ya jimbo letu, yeye ni biashara zake basi.
Inauhusiano gani sasa?
Sana tu kamanda!! uzima kwanza mengine yafuate!!Tuombeane uzima