Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
- Thread starter
- #1,101
haya sasa wale wachache wa BSS tuungane kunywa divai mbaya baada ya nzuri kuisha.
Mie leo nilivyochoka BSS sijui ka nitatizama
hapa nina amani Hisia yuko SAFE
haya sasa wale wachache wa BSS tuungane kunywa divai mbaya baada ya nzuri kuisha.
daa nilikuwa na wasi na wimbo wake daa ana bahati.Hisia hayuko probation
Sitendaa this time anaweza kuchapa lapa
hivi imekuwaje? au ian alikosea jina?
Sitendaa this time anaweza kuchapa lapa
Huyo Muthon kamchuuza tu.........
hahaahaaaa mie nilijua Hisia eti Hope
I was like what!!!!!! masikio yangu yananidanganya siku hizi
aende tu. tulimpenda ila probation imempenda zaidi
haha hiyo ni futuhi.Mie leo nilivyochoka BSS sijui ka nitatizama
hapa nina amani Hisia yuko SAFE
aende tu. tulimpenda ila probation imempenda zaidi
Na alivovaa leo,kale ka koti ka kamdogo wake
Halafu hivi Phiona ana mimba....au ni mimi macho yngu
daa nilikuwa na wasi na wimbo wake daa ana bahati.
Na alivovaa leo,kale ka koti ka kamdogo wake
Halafu hivi Phiona ana mimba....au ni mimi macho yngu
hahaahaaaa mie nilijua Hisia eti Hope
I was like what!!!!!! masikio yangu yananidanganya siku hizi
Heaven on Earth weka updates hapo juu.