atug
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,836
- 3,680
halafu nikuchekeshe umeme tangu jana eti ndio umerudi sasa hivi, yaani nusura nilie nilivoona muda unaenda tu bila umeme kwa siku ya pili.
Duhh polee sanaa ningekusaidia kulia
halafu nikuchekeshe umeme tangu jana eti ndio umerudi sasa hivi, yaani nusura nilie nilivoona muda unaenda tu bila umeme kwa siku ya pili.
Hahaaa niliwakimbia mapema nikalala
Erick wainana ndo nani
Patrick from Rwanda ndio anaanza kuperform
mi leo mtanisimulia tu
apa nasababishwa kuangalia mechi ya chelsea na man city
Duhh polee sanaa ningekusaidia kulia
jamani nijuzeni kinachoendelea
Tunakuwakilisha na tutakuwa tunakupa updates.. Nijulishe matokeo koz m ni fan wa chelsea
leo asubuhi ndo nimesikia......hata Davido hakuimba lol majanga
Angel km anatumia effort kubwa ktk kuimba leo
chelsea 1 man city 0
wimbo ni Mgumu Adele nyimbo zake anavuta sauti sana
chelsea 1 man city 0