Haya wana JF tunalangalia mechi ya kwanza ya raundi ya awali ya kugombea kwenda AFCON 2015
hayaaaaaaaaaaaaaaa
dakika ya 15 samata anampasia ulimwengu naye anampasia John Boko anatupatia goli
Tanzania 1 Zimbabwe 0 dakika 16
Kuna kituo cha Tv wanarusha hiyo mechi wadau?
Hv tz tukimfunga Zimbabwe tunapita magroup au kuna match nyingine .