Mkuu spika! vijana waliyapata maneno yetu makali yakawaingia! wamejituma!!Kwenye kakioo kangu mkuu!
Nadhani ilikuwa ni mbinu ya kupoteza muda mtani...wanaumia sana... sijui walikula nini
Nipo Pazi, Ehehehehehehe. Habarui za miaka mingi kaka?
Hivi mchezaji kutoka Zenji aliyemo ni nani?
Hivi mchezaji kutoka Zenji aliyemo ni nani?
Poor Kaseja again
acha ubaguzi ..hatutaki mambo yenu ya muungano huku
Oyeeee....niimemsikia Pazi na kwa kweli ametufurahisha. Mana mie naamka kufungua jamii forum nikaona tumeshapigwa 1-0. Sikuwa na hamu ya kulog in mpaka ilipokuwa 1-1 ndio nikapata nguvu za kuingia hapa.Subiri kwanza tehteh niokote Keyboard Yangu manake furaha mpaka nimeipiga screen kichwa za miaka nzuri tu Dr Kilakshari umesikia mambo ya Chapombe sio mlevi ni mchezaji mpira ametufurahisha Taifa stars Oyeeeee.
Sasa nimefanya ubaguzi gani?
FULL-TIME Tanzania 2-1 The GambiaTanzania move into second place behind Ivory Coast in Group C thanks to this win.
Group C after two matches:
- Ivory Coast 4 pts nafasi ya Taifa stars*
- Tanzania 3 pts inapendeza hiii sasa tufanye kweli. hii ime nafasi ya Gambia
- Morocco 2 pts Nyie ndio muwe wa mwisho kabisa hii iwe nafasi ya Ivory cost
- The Gambia 1 pt
Naam tushapata,
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
kutaka kujua mchezaji gani katoka Zenji kama siyo ubaguzi ni nini? Mwishowe utataka kujua ni waislamu au wakristo wangapi wako timu ya taifa.Sasa nimefanya ubaguzi gani?