Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Mkuu wangu huwa nakuaminia sana lakini kwa post yako hii mbona unataka kuniangusha, kwani Simba wanafanya mazoezi kwenye bomba la mvua. Au unamanisha zile imani zetu za wazee wetu?
Huyu jamaa inabidi wampe tu zawadi ya ufungaji bora kabla hata ya ligi kuisha, maana goli 19 na bado mechi 6 zingine zinakuja si mchezo.gooooool... simba 2, ruvu 0, ni tambwe again!!
Ni mtani wako.
Jamaa anatisha haki
ahhaaa..sawa mkuu, ruvu wanafanya mabadiliko..Najua, ni kati ya washabiki wa upande wa pili ambao wako sober minded muda wote. Ila alighafirika tu siku ya mtani jembe akajikuta amepata ban.
gooooool....simba 1, ni hamis tambwe, dk 23
watani leo wanataka kupiga wiki naona.
leo atasema tatizo mvua....dk 43, simba 2, ruvu 0Ngoja Ruvu wacharazwe tu, sijui leo watasingizia nini. Kwa Yanga walidai wamebahatishwa baadaye wakadai walipuliziwa madawa ya kulevya. Namsubiri Kifaru nisikie atatokaje leo.
Mkuu Masuke asante kwa ujasiri wako kujiunga nasi maana wenzako wote wamesepa.
Wacha Ruvu wacharazwe tu, sijui leo watasingizia nini. Kwa Yanga walidai wamebahatishwa baadaye wakadai walipuliziwa madawa ya kulevya. Namsubiri Kifaru nisikie atatokaje leo.
Tupo ila tunachungulia kwa mbaaaaaaali.
Tupo mkuu endelea kuleta updates...
Anabahatisha tu huyu