Live Updates: SIMBA Sports Club vs TP Mazembe

Mbona mnatuchanganya Mnyama kafufuka Bado 3 ndio nini yani Ngapi Ngapi 1-1? Simba Taifa Kubwa wacheni uoga Pigeni hao wakapate Kikombe kwa Babu.
 
Dah mambo Gani hayo sasa Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nini bwana Ngurumeni bwana. msikubali Rushwa za Tajiri wao wa Mining. Kama mmehaidiwa kuchukuliwa hio timu toweni ndoto hiyo Ndoto ni kushinda kwendambele. alafu ndio mnasema tusishangilie timu za Ulaya? kweli huu ndio Mfano?.
 
Leo ndio leo fanyeni kama man utd wanavyoweza kurudisha magoli. Sasa mnahitaji ushindi wa 5-2
 
Back
Top Bottom