TUZO ZA MTVMAMA2015: Msanii Diamond Platinumz atwaa tuzo ya msanii bora kwa upande wa maonyesha ya moja kwa moja "Best Live Act" huko Durban, Afrika Kusini.
Pasco
Wale waliokataa kumpigia promo Diamond eti mpaka awapigie magoti na kuunda kikundi chao cha kumpigia promo Vannessa pekee, sijui wanajisikiaje wakati kama huu. Maana waliyemu Ignore kapata na waliyempa hizo promo kakosa.. NAWAZA TU
Wale waliokataa kumpigia promo Diamond eti mpaka awapigie magoti na kuunda kikundi chao cha kumpigia promo Vannessa pekee, sijui wanajisikiaje wakati kama huu. Maana waliyemu Ignore kapata na waliyempa hizo promo kakosa.. NAWAZA TU