Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,984
- 134,131
Kamanda wenu nimefura kwa stress za kufanya ovyo ktk Liki Kuu!Sio ishu,nawaletea live updates mpira mkubwa Mnyama anakipiga na Yanga,Updates FT, SIMBA 1:YANGA 1
Kamanda wenu nimefura kwa stress za kufanya ovyo ktk Liki Kuu!Sio ishu,nawaletea live updates mpira mkubwa Mnyama anakipiga na Yanga,
yanga ikishindi anabaki nafasi ya pili na atashiriki african conferadation cup mwakani, simba ikifungwa inamaliza ligi katika nafasi ya tano. je umeona kinachotafutwa?kwani Simba na Yanga wanagombea nini? Yanga akishinda wanapata nini?
kwani Simba na Yanga wanagombea nini? Yanga akishinda wanapata nini?
yanga ikishindi anabaki nafasi ya pili na atashiriki african conferadation cup mwakani, simba ikifungwa inamaliza ligi katika nafasi ya tano. je umeona kinachotafutwa?
Kamanda wenu nimefura kwa stress za kufanya ovyo ktk Liki Kuu!Sio ishu,nawaletea live updates mpira mkubwa Mnyama anakipiga na Yanga,
mkuu hivi ni mzima kweli! au malaria yamepanda kichwani au pressure ya gemu imepanda sana....!!!Yanga akifungwa anashuka hadi nafasi ya 4...na lazima apigwe tu,hamna nanmna nyingine
Tangazo Tangazo.
Wale wanachama wa mambumbumbu FC mnaombwa jumatatu kubeba mafyekeo,mapanga,majembe na kuelekea bunju ili tutengeneze pitch yetu.
pia michango ya viti bado inapokolewa hasa vya pale Taifa so mking'oa hata 10 vinatosha.
BY RAGE.
Yanga akifungwa anashuka hadi nafasi ya 4...na lazima apigwe tu,hamna nanmna nyingine
mkuu puguza porojo, wewe ni mtu mzima unajua,mbona unakuwa kama ''dogo'' anayejifunza kuvuta bangi