Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Wananchi wakinyoosha mikono hewani ishara ya kukubaliana na uamuzi wa Kamati Kuu kuazimia kuwa Red Brigade iimarishwe kwa kupewa mafunzo ya UKAKAMAVU na kisha wakanyoosha mikono kama ishara ya kukubaliana na uamuzi wa CHADEMA kujilinda, self defence, baada ya mashambulio kadhaa yakiwemo majaribio ya kulipuliwa kwa bomu.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1374087809.963509.jpg
    125.8 KB · Views: 6,582
Hapo itakuwa kwaya zinapigwa na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
Biblia ipo na itaendelea kuwepo kabla ya ukoo wako kuwepo na itakuwepo na uzuri vitu vyote vitapita Bali NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.Kwa iyo usijisumbue kuhusu Biblia maana hata siku ya HUKUMU UTAUKUMIWA KWA NENO.Neno moja nakwambia kuwa MSINGI WA NENO LA MUNGU UMESIMAMA WENYE MIHURI HII BWANA ANAWAJUA WALIOWAKE NA KILA ALITAJAYE JINA LA BWANA NA AUACHE UOVU.
 

Heshima yako mkuu Chief Isike.
 
Last edited by a moderator:

Hahahahaha D.D.D. H I will alwayz remember the man. Aliniivisha poa sana kwenye docommentation.

Kupitia Chadema Haule nitakukumbuka
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mohamedi Mtoi hesabu ya leo ngapi mkutanoni?
 
Chadema hawa hawa au wengine? wasidhani huko ni Arusha.
 

.....hiii picha ikuzwe na iwe juu kwenye live update!!!

CC ....crashwise (Mutu ya watu)....Mungi (Kamanda kikosi cha mstari wa mbele Arusha )....mods JF (matangazo bila kukatika)
 
Mtoi una busara za pekee hakika unastaili sifa...big up comrade
 

ni jambo jema wananchi kukubali mabadiliko....Mwigilu na hila zao wakikatisha maisha ya watoto pale arusha akijua ni njia pekee ya kuwafanya watu wasijitokeze kwenye mikutano...apo ameisoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…