OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,202
- 103,741
- Thread starter
- #41
Lipuli washuka daraja kwa ujinga wenu. Yaani mnawashindwa Yanga Utopolo. mbwa nyie
wamekuwa wanne kutoka mwishoDu hivi vyombo vya habari Mtangazaji wa aredio one anasema Lipuli umeshuka Daraja ....kivipi!
ni kwa utashi wanguSasa umeleta uzi wa nini kama haulipwi?
Kama wamechukua kombe duh..Duuh Yanga wanavyoshangilia kama
Nafasi ya pili unaenda KimataifaKama wamechukua kombe duh..
Mkuu OKW BOBAN SUNZU hii timu kwa historia ya hivi karibuni imetupa machungu sana wana Yanga. Nimefurahi sana tumewachinja leo.Duuh Yanga wanavyoshangilia kama
Wishful thinkingNafasi ya pili unaenda Kimataifa
Ndio viashiria vya utopoloism mkuu!Duuh Yanga wanavyoshangilia kama
mkuu hiyo kauli ya kweli au umechangamsha jamviKocha wa wa Utopolo fc anasema mashabiki wa Yanga wanaropoka tu ka manyani,
Wameshuka kwa hiyowamekuwa wanne kutoka mwisho