Dk ya 33 kipindi cha pili
bado dakika ngapi mkuu?
bado dakika ngapi mkuu?
huko simba hali ikoje? naskia anapumulia mashine
Mbeya city 2 mtibwa 0
Goooooooooooo, goooooo goli la mwaka linafungwa apa mbeya, hahahahahaah mbeya city2 mtibwa 1
Aisee...limefungwa vp mkuu hilo goli?Goooooooooooo, goooooo goli la mwaka linafungwa apa mbeya, hahahahahaah mbeya city2 mtibwa 1
Kama kawaida , tupeane taarifa za matokeo ya mechi zote za leo , leo mbeya sokoine mtibwa sugar atakuwa akipelekwa puta na Mbeya city , wapenzi wa Mbeya city twendeni tuipe sapoti timu yetu , najua wengi mtakuwa na hamu ya kuiona timu yenu na kuisapoti wapate matokeo mazuri . Mbeya city msiwaangushe mashabiki wenu.