LIVE UPDATES!!! CHELSEA vs MAN UTD leo jumatano usiku

LIVE UPDATES!!! CHELSEA vs MAN UTD leo jumatano usiku

Concrete

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
3,605
Reaction score
551
Leo jumatano usiku, Chelsea inakutana tena na Manchester united lakini sasa ni katika kombe la Ligi(Capital one cup zamani Carling cup).

Wadau popote mlipo tunaomba live updates!!!
................................................
UPDATES
*Dk 28 Manchester utd wanapata goli la kwanza kupitia Giggs.

*Mchezo umebalance, kuna kadi mbili za njano zote Chelsea nao ni Romelo, Obi Mikel.

*Dk 34 Chelsea wanasawazisha kwa penati kupitia kwa David Luiz

*Dk 43 Manchester Utd wanapata bao la pili kupitia Chicharito.

*Mechi ni mapumziko, Manchester Utd ikiwa mbele kwa magoli 2-1

*Dakika 51 Chelsea wanasawazisha kwa kupata goli la pili kupitia kwa Cahill, mpira sasa ni 2-2

*Dk 59 Manchester Utd wanapata goli la tatu kupitia kwa Nani.
Kwa sasa Manchester Utd wanaongoza kwa magoli 3-2.

*Dk 89 Chelsea wanasawazisha goli la tatu, sasa ni 3-3

*Dk 90 zimekwisha mabao ni 3-3 hivyo mpira unaongezwa dakika 30 ili mshindi apatiKane

*Chelsea wanapata goli la nne, hivyo magoli ni 4-3

*Chelsea wanapata goli la tano hivyo magoli ni 5-3

*Manchester Utd wanapata goli la Nne kwa njia ya penalty mfungaji akiwa Giggs, hivyo magoli ni 5-4 Chelsea wakiwa mbele.

****MPIRA UMEKWISHA: CHELSEA 5- 4 MANCHESTER Utd

HONGERA CHELSEA!!!!!
 
Ndio kimeanza sijui leo ni revenge......

Hali lazima itakuwa si nzuri uwanjani...
 
Ndio kimeanza sijui leo ni revenge......

Hali lazima itakuwa si nzuri uwanjani...
Si nzuri kivipi?
Kuna dalili za fujo, ubaguzi, rafu mbaya, kuvunjika kwa mchezo, Red cards nyingi, mvua ya magoli?
 
Chants by man u fans

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
mgeni wetu leo ni Chevchenko, yupo jukwaani akiteta na Abramovich.
 
Chicharito anapenda sana kucheza na Chelsea
 
Anapenda sana kuwatungua Chelsea
 
Na leo magoli mengi kama mechi ya jana ? 3-2 Utd
 
Back
Top Bottom