LIVE UPDATES!!! CHELSEA vs MAN UTD leo jumatano usiku

LIVE UPDATES!!! CHELSEA vs MAN UTD leo jumatano usiku

Bao la UKWELI! Chipping by Nani, 3-2, dk 59.
 
kama kawaida, refa haishi vituko IN FAVOUR OF MAN UTD.
 
Mechi ya kombe la mbuzi haivutii hata kuangalia
 
kibao KIMEGEUKA! Chelsea wanapata penalt sekunde 3 kabla ya dk 3 za NYONGEZA kwisha. 3-3. Sasa zitapigwa dk 30 za nyongeza. Patamu!
 
kama kawaida, refa haishi vituko IN FAVOUR OF MAN UTD.
Hapana, safari hii refa kajitahidi ku-balance na kusema ukweli Man U leo walikuwa ngangari. Ila refa kapepesa macho na "kuwazawadia" Chelsea penati ya bure ya kusawazisha na matokeo yamekuwa 3-3! Dunia hii haiishi maajabu!
 
Hii penalt, katoa tu kuua soo, huyu ramires hakuguswa kabisa kaanguka tu mwenyewe tena kwa kujirusha.
 
Jamaniiiiiiiii kwa hiyo mnasema chelsea kapendelewa?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Penalt ya halali hawa mabeki wa kati wa man utd hawana uzoefu..sasa ilo goli la 4 si utoto pale wamefanya nini?
 
maamuzi ya utata bado yanaendelea in favour of ManUtd.
 
Ramires ni mchaga wa kibosho,we mwangalie tu sura yake!ni wale wachaga waislam!kule kibosho tulikuwa tunamwita Rama Razi(radhi) kwa vituko vyake tuliamini kapewa radhi na baba yake,kazamia brazil kajiita ramires
 
zenmoster umesema

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom