Mkuu we utakuwa umetoka kijijini aisee...Au ni shabiki wa timu za kibongo...hii analysis yako kiboko
Mourinho kweli hana akili kipa mzuri namna hii anamweka benchi...sasa ona anavyowabania baada ya kuuzwa.
Hivi Mungu anajua kiswahili?
Ndiyo maana mimi uwa nasema Maureen siyo mwalimu mzuri wa mpira...yeye ni mjanja mjanja tu...
View attachment 154945Mourinho basi
Ewe MOLA tunusuru na mkasa wa kutolewa nyumbani.
ila watu mna maudhi nyie aa! Mtaua watu kwa presha
Ninasubili kumsikia atasemaje baada ya mpira
Ohh kumbe Stamford Bridge na wao wanatoka Kapa kama Ol Traford vile
Safi sana
Anfield kapa, Stamford Bridge kapa, Emirates {Dah Hull City plz do us a favour}
Kama mpira utaisha hivi basi nategemea kuona fainali tamu yenye mpira wa kasi na kufunguka kwa saaana.