Hata akinza mwenyewe king mputa, haiwi Sababu ya kukikwepa kisu.Amis Tambwa ameondolewa kwenye kikosi kinachoanza na nafasi yake amechukua amri kiemba
Waheshimiwa, Makoye Matale,
Mandieta, Account Full, Wabheja Sana, Watu8, bila kumsahau Babav,
Munaombwa musisahau kuja na vifaa vya kupikia. Mwenye uwezo wa Sifuria,
Jiko kubwa la kuokea nyama, Mkaa , Chumvi, ndimu, bila kusahu piripiri.
Nimejiandaa kumchinja mnyama hivyo naahidi Waheshimiwa mutatafuna nyama
mpaka muvimbirwe.
Akitoa droo mnyama lazima ashangilie mi naona leo ni kipigo tu kwa mnyama
Simba wanatisha aisee, walipigwa goli 3 na timu ya wananchi wakazichomoa zote, wakaenda Tanga wakapigwa goli 0 na wagosi wa kaya, wakachomoa kwa kuwapiga hiyo hiyo 0. Leo nawatakia uchomoaji mwema wa idadi yoyote ya goli watakazopigwa ili gemu liishe kwa suluhu au sare. CC. Kitoabu (Ombi lako kwenye mechi ya watani lahusika).
Dk.90 zikiisha utaelewa nilicho kuwa namaanisha nyie kushinda leo ni sawa na fenesi kudondoka kwenye mnazi.
Unazungumzia Droo gani, ya kitanda au ya kabati?mimi leo naomba droo, kuanzia taifa had sokoine, mkishinda sio mbaya ingawa sitafurahi, ila msifungwe tu!
Simba wanatisha aisee, walipigwa goli 3 na timu ya wananchi wakazichomoa zote, wakaenda Tanga wakapigwa goli 0 na wagosi wa kaya, wakachomoa kwa kuwapiga hiyo hiyo 0. Leo nawatakia uchomoaji mwema wa idadi yoyote ya goli watakazopigwa ili gemu liishe kwa suluhu au sare. CC. Kitoabu (Ombi lako kwenye mechi ya watani lahusika).
Unazungumzia Droo gani, ya kitanda au ya kabati?