ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
View attachment 118720
Dah! kweli simba wamechezewa. Asante azam. Mia
ndo uwezo wao huo..
View attachment 118720
Dah! kweli simba wamechezewa. Asante azam. Mia
Si haba wacheji wamejituma. Hao ndo tuliosajili wajamen. At least naiona nafasi yetu ileeeeee ya 3 kama kawa!
halafu iweje sasa..
Msimu uliopita mlianza hivyo hivyo na msimu huu mmeanza kurudia yaleyaleacha kukariri
Kweli ni mmoja tu! Yulee ambaye rekodi yake ya kipigo alichotoa cha 5 -0 bado hakijalipwa!!Bwaa ha ha ha.
Tuongoze usukani
Leo Humud hajacheza sijui jumba bovu litamwangukia nani?