Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
Suala hapa sio Ubingwa ninavyofahamu mimi ukisema Vibonde ni kumaanisha timu ambayo ni mteremko na wala haifiki huko kwenye fainali.Hata Ballack kacheza fainali na nusu fainali nyingi sana....beba ile kitu yenye masikio wewe!