Live TBC Madereva wanamuaga kikwete

Live TBC Madereva wanamuaga kikwete

wanajamvi ni kweli hawa ni madereva na wengi wao ni madereva wa mabasi yaendayo mikoani na malori, ila muono wangu huu mkutano umeandaliwa na kugharamiwa kwa msaada wa serikali.
 
Mkuu Naona Unajaribu Kupotosha Umma,hiyo Sio Sherehe Ya Kumuaga Ni Meeting Ambayo Madereva Waliomba Ili Kuwasilisha Malalamiko Yao.Ikumbukwe Walitaka Kuandamana Lakini Kupitia Mlezi Wao Paul Makonda Walishauriana Na Wakaomba Kukutana Na Mh.Rais.Please Sikilizeni Vyombo Vya Habari....
Hakuna lolote, madereva wenye uelewa hawawezi kuwepo kwenye kikao hicho, watadanganywa mara ngapi????
 
Mkutano umekwisha ni matarajio ya Madereva maazimio yaliofikiwa Leo mbele ya Raisi yatatekelezwa,wasiwasi wangu mmmhhh ngoja niweke akiba ya MANENO.
 
Back
Top Bottom