Live TBC Madereva wanamuaga kikwete

Live TBC Madereva wanamuaga kikwete

incognintum

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2015
Posts
236
Reaction score
122
Madereva wameandaa sherehe ya kumuaga Rais kikwete ubungo Plaza live TBC Now.
 
Nao njaa tu zinawapeleka kwake, kama angekuwa mwema sana kwao angewasaidia muda wote huo aliokuwa madarakani
 
Hao madereva wameandaliwa,mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda
 
Sasa wanatakiwa wambane hapohapo kwenye issue yao ile
 
Mkuu Naona Unajaribu Kupotosha Umma,hiyo Sio Sherehe Ya Kumuaga Ni Meeting Ambayo Madereva Waliomba Ili Kuwasilisha Malalamiko Yao.Ikumbukwe Walitaka Kuandamana Lakini Kupitia Mlezi Wao Paul Makonda Walishauriana Na Wakaomba Kukutana Na Mh.Rais.Please Sikilizeni Vyombo Vya Habari....
 
Angalia TBC ndugu wameandika sherehe ya kumuaga Rais kikwete sasa wewe unasema mkutano umeyatoa wapi hayo? Acha kupotosha kishabiki, naangalia hapa naona Madereva wamechoka kwa voroba, posho waliambiwa elfu kumi wamepewa elfu tano sherehe inataka kuharibika ni zogo, sogelea TV Upate ukweli achana na watu wa propaganda.
 
Madereva hawamuagi JK,

It is the reverse... CCM wameandaa watu wajikusanye ionekane ni madereva wanamuaga JK, ni mbinu ya CCM kujiona ina ukaribu na wananchi

Nasubiri atakapoaga wasomi pia
 
hahahahah madereva hawa hawa waliokua wanagoma kila wiki!!!?
 
Madereva hawamuagi JK,

It is the reverse... CCM wameandaa watu wajikusanye ionekane ni madereva wanamuaga JK, ni mbinu ya CCM kujiona ina ukaribu na wananchi

Nasubiri atakapoaga wasomi pia

Kwa hiyo hata alipoagana na wasanii ccm iliwaleta wasanii wa kununua?
 
Wasanii hawahawa wakakodi ukumbi mlimani city na gharama za TV live?
 
Madereva wameandaa sherehe ya kumuaga Rais kikwete ubungo Plaza live TBC Now.

Mm ni dereva na ni mwanachama pia wa chama cha madereva,na kila panapokua na jambo hua tunapata msg kutoka kwa uongozi wa umoja wetu,sasa hao madereva anaokutana ni wapi?,Hii ni isue imepangwa tu kwa makusudi ya kisiasa,hao si madereva narudia si madereva.Ni walewale wachumia tumbo,na tukiwabaini tunawapiga chini kuanzia uongozi
 
Angalia TBC ndugu wameandika sherehe ya kumuaga Rais kikwete sasa wewe unasema mkutano umeyatoa wapi hayo? Acha kupotosha kishabiki, naangalia hapa naona Madereva wamechoka kwa voroba, posho waliambiwa elfu kumi wamepewa elfu tano sherehe inataka kuharibika ni zogo, sogelea TV Upate ukweli achana na watu wa propaganda.

Hapo hakuna dereva,ni isue imepangwa tu,nimejaribu kuuliza madereva zaidi ya kumi ambao ni wanachama hai wa chama cha madereva,hakuna mwenye taarifa za mkutano huo
 
Kwa hiyo hata alipoagana na wasanii ccm iliwaleta wasanii wa kununua?

wee naye acha upompompo msanii gani anakodi ukumbi mlimani city?ile ilikuwa isidingo na ndo inaendelea kwa hao wanaojiita madereva
 
Nchi ya ajabu hii, Makonda leo ni mwanachama wa chama cha madereva?? Anaongea kama kiongozi wa chama na madereva wanapiga makofi kama wapo Mirembe.
Lowassa njoo uwape elimu watanzania. Hakika kuirudisha ccm madarakani ni kujitakia laana kutoka kwa Mungu.
 
Wangekuwa ni madereva hao nisingekuwa nimepanda daladala mida hii. Kwanza sasa hivi kwenye daladaka inapigwa ile song ya Lowasa chaguo la wengi ... Na hakuna abiria anayepiga kelele itolewe.
 
Back
Top Bottom