Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
Dakika ya 65 Arsenal 3 Newcastle 0
Dakika ya 65 Arsenal 3 Newcastle 0
Nauangalia sina hata pressure . Kushinda kuna raha yake!
Kamanda,Mpira umeisha tumeshinda 3 bila naona ligi ndo tumeianza...kushinda kuna raha yake jamani
Kamanda,
Hivi kulikuwa na ulazima gani wa kufungua bandiko jipya kwa timu ya Asenali? Kuna bandiko la Asernal ambalo lipo hapa zaidi ya mwaka mmoja!! kwa nini usiweke bandiko hili katika thread hiyo`?