mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Wakuu,
Mda si mrefu around saamoja kamili jioni hii kutakuwa na mjadala unaohusiana na wahandishi wa habari.
Mada ya leo inasema.... Je ni kweli waandishi wa habari hutumika kwa maslahi binafsi?
Kipindi kitarushwa LIVE na EATV....muongozaji wa kipindi (presenter) ni Dada Prudence from EATV.
Wageni waalikwa kwenye mada hii ni -
Tumaini Makene - Afisa habari kutoka Chadema
Nevile Meena - kutoka jopo la wahariri wa habari Tanzania na
Ayubu Rioba - mwandishi wa makala za habari
Karibuni tushuhudie mtanange huu kwa kupitia television zetu.... Nawakilisha
Mda si mrefu around saamoja kamili jioni hii kutakuwa na mjadala unaohusiana na wahandishi wa habari.
Mada ya leo inasema.... Je ni kweli waandishi wa habari hutumika kwa maslahi binafsi?
Kipindi kitarushwa LIVE na EATV....muongozaji wa kipindi (presenter) ni Dada Prudence from EATV.
Wageni waalikwa kwenye mada hii ni -
Tumaini Makene - Afisa habari kutoka Chadema
Nevile Meena - kutoka jopo la wahariri wa habari Tanzania na
Ayubu Rioba - mwandishi wa makala za habari
Karibuni tushuhudie mtanange huu kwa kupitia television zetu.... Nawakilisha