Ndio na kuna kila dalili wakatufunga!
Wanatufunga leo!
Kadi kwa kaseja kudelay!
kili star wanapoteana. wanapoteza mipara ovyo. yaani wanashindwa kutuliza mpira kinachofanya adui yao wapate mpira kilahisi. Wagaruka katukosakosa. juma kaseja analeta usuper star golini kidogo anyang'anywe mpira. Mia
Waganda lazima wafungwe tu, jamani hivi Kenya nao vipi wanashiriki haya mashindano?:lol:
Mwinyi Kazimoto ni noma!