Live: Nusu fainali ya challenge cup

Uganda wanashambulia sasa, lakini ukuta wa kili umetulia. Kili wanakosa goli la wazi kabisa.
 
cecafa haiwezi kukubali tutolewwe......... watakula wapi?

Hizi inaonekana ni mbinu za cecafa kuhakikisha kombe linabaki au kili iingie fainali wapate mapato ya kutosha!
 
Kaseja naye anapretend kuumia ili kupoteza muda. He is still on treatment
 
Kaseja naye anapretend kuumia ili kupoteza muda. He is still on treatment

kaseja ni gamba kama wewe. dakika ya 30 unapoteza mda? badala ya kuwahamasihsa wachezaji wake kutafuta la pili, analala tu
 
Back
Top Bottom