Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Lazima tufungwe piga ua
Mwinyi Kazimoto ni noma!
tumeshapoteza mwelekeoKwa nini lazima tufungwe?
Mwinyi Kazimoto ni noma!
Hata haonekani....
Kwa nini lazima tufungwe?
hiki kipindi cha pili Uganda wanatawala mpira. kinacho onekana taifa star hawajaiva kimazoezi sababu wanakimbizwa sana. Okwi anawakimbiza sana mabeki wa kili. inabidi kili wajitume watumie juhudi binafsi, waache kujiangusha bila msingi maalum. Hata kutuliza mpira wanashindwa. yaani wanacheza kizembe. nafikili mmenisoma. MIA