LIVE: Nape ndani ya Wapo Radio

LIVE: Nape ndani ya Wapo Radio

nape anasema:
naunga mkono watu wawajibike kisiasa. tusisubili watu waanze kukuzomea barabarani.
mahakama ya kadhi watu wanapotosha. tulisema tutatafuta ufumbuzi wa kuhusu mahakama ya kadhi. irani yetu ilisema tuanzishe mjadala wa kadhi na huu ndo msimamo wa ccm. hii imedumisha amani.mjadala wa mahakama wa kadhi isiugawe umoja wetu. serikali iendelee kutokuwa na dili. wakatoriki wana mahakama haulipiwi na serikali na waislam waanzishe wa kwao kidini. wanayo yafanya yasivunje sheria ya nchi. mia
 
kuuhusu nahakamwafanye ya kadhi anakubali imwepo ila isigharamiwe na serikali wafanye mambo yao ili mradi tu wasivunje sheria za nchi maana kila mtu anaruhusiwa kuabudu bila kuathiri uhuru wa mwenzake
 
Jamaa amewakata maini waliotegemea mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba....
 
nape anasema;
shule za private tuzibane ziwe na viwango sawa. wanapandisha bei kwenye mahotel ili kubana waafrica wasiende. mia
 
nape anasema. ccm tulianza kufukuza watovu wa nidhamu zamani. tulimfukuza mrema, kambona, seif hamad na wengine wengi hata kabla ya hawa watani zetu chadema. so sisi ndo wakwanza. mia

Kwi kwiiiii Kumbe Maalim Seif Shariff Hamad ni MTOVU WA NIDHAMU?! I can't comprehend nchi kuongozwa na Makamu wa Kwanza wa RAIS MTOVU WA NIDHAMU.
 
nape asema;
mimi sikuchagua nizaliwe wapi so msinihukumu kuzaliwa na nauye. mimi nmeanza kufanya vizuri darasa la nne na nimefanikiwa kutokana na juhudi sio nauye. bodi ya mikopo waliniletea barua ya kulipa bila liba. nilikopeshwa fedha mil 7. bodi ya mikopo wamenisaidia. mimi sijakwepa kulipa sababu nmeshamwelekeza mwaajiri wangu awalipe. so mimi sijakwepa kuilipa bodi ya mikopo. mia
 
nape anasema; kuna watu walitoka kamati kuu. ilipo vunjwa ni nani aliye rudi ambaye anatuhumiwa? na sasa tutaunda kamati kuu nyingine. tupigane vita ya kiroho sasa. kama kahaba anaacha ukahaba kwanini fisadi asiache?. mia
 
nape anasema; kuna watu walitoka kamati kuu. ilipo vunjwa ni nani aliye rudi ambaye anatuhumiwa? na sasa tutaunda kamati kuu nyingine. tupigane vita ya kiroho sasa. kama kahaba anaacha ukahaba kwanini fisadi asiache?. mia

Yaani Nape anajifanya hajui kwa KINANA ana TUHUMA za kuua TEMBO na FARU???

Kweli hizi njaa ni mbaya sana, zinafanya vijana wanashindwa kutetea wanayoyaamini...
 
Ukweli bado nchi hii tunaendekeza upumbavu, nchi inaingia shimoni
 
Nape hawezi kujibu chochote cha maana kusaidia kiu ya watanzania
 
nape anasema. ccm tulianza kufukuza watovu wa nidhamu zamani. tulimfukuza mrema, kambona, seif hamad na wengine wengi hata kabla ya hawa watani zetu chadema. so sisi ndo wakwanza. mia

Ha ha ha.. Kweli Nape ana akili ya mawe.. ccm iliowafukuza Kambona na Sefu ilikuwa ni ccm hii ya mafisadi..?
 
nape anasema:
naunga mkono watu wawajibike kisiasa. tusisubili watu waanze kukuzomea barabarani.
mahakama ya kadhi watu wanapotosha. tulisema tutatafuta ufumbuzi wa kuhusu mahakama ya kadhi. irani yetu ilisema tuanzishe mjadala wa kadhi na huu ndo msimamo wa ccm. hii imedumisha amani.mjadala wa mahakama wa kadhi isiugawe umoja wetu. serikali iendelee kutokuwa na dili. wakatoriki wana mahakama haulipiwi na serikali na waislam waanzishe wa kwao kidini. wanayo yafanya yasivunje sheria ya nchi. mia

kwanini hayo ya kadhi kakimbilia kwenye redio ya kanisa. kwanini asiende Redio IMAAN?
 
Kama makamo wa rais ni mtovu wa nidhamu sijui aliemchagua rais wake atakuwa nani? Nape bana. Mimi nilidhani atazungumzia ufisadi wa kanisa (mou) uliotetewa na dk slaa
 
Jamaa amewakata maini waliotegemea mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba....
makanisa yasema serekali 3 wanataka. na CCM inasikiliza Kilio cha makanisa. karibu kikwete na nape watageuza mtazamo na wao kutaka serekali 3 kama kanisa lilivyotaka. kwi kwi kwi kwe
 
nape anasema;
kwanini munaibana ccm lakini viongozi wa dini hamuwabani?. mafisadi wanajulikana na wanahudhulia kanisani na misikiti. kwanini musiwatenge mafisadi makanisani? badala yake wakija mnawapa viti vya mbele lakini waumin wengine mnawatenga pale wanapo kosa. mia
 
jamaa amemaliza, kwa kifupi hakuna anacho jibu... matatizo matupu...ni kilaza tu,neno moja litarudiwa rudiwa kama amatafuna jojo..hopeless guy
 
nape anasema;
kwanini munaibana ccm lakini viongozi wa dini hamuwabani?. mafisadi wanajulikana na wanahudhulia kanisani na misikiti. kwanini musiwatenge mafisadi makanisani? badala yake wakija mnawapa viti vya mbele lakini waumin wengine mnawatenga pale wanapo kosa. mia

Hapa kuna jambo gumu sana. Tatizo mojawapo ni njaa za hawa wakuu wa dini na pili ni ngumu kwa wao kutoa hukumu ya moja kwa moja kuwa hawa ni mafisadi kwa hiyo pesa yao hatuitaki! Ila ni mtazamo wake.

Mkuu, tunashukuru kwa taarifa kwa ambao hatuwezi sikiliza radio!
 
Back
Top Bottom