anababaika sana kujieleza
Mkuu ni wangapi wanajitokeza hadharani kuijibia CCM hivi sasa? Nape anajitahidi
angalia tu usije ukafa wewe na kuiacha ccm inadunda!Natamani kuona ccm itakavyokufa, Mungu wa Mbinguni nisaidie.
Amina
Hapa kunaashiria kwamba @Nape Jr hawezi majadiliano ya moja kwa moja bali midaharo ya viporo. Ndiyo maana kumbe huu mdaharo https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/372788-ninaomba-mdahalo-wa-kisiasa-na-nape-nnauye-9.html aliukimbia!...sasa ameamua kurudi tena kumalizia kujibu maswali yaliyo baki. Nape alisema hataki kuulizwa maswali mengine bali anaenda kujibu vipolo vya maswali alivyo bakisha kwa mara ya mwisho alipokuwa wapo radio. mia
Aseme ukweli nape kuna siku imewahi pita maishani mwake toka amepewa cheo ccm ipite bila kuitaja CHADEMA?asante ndugu nime tune namsikiliza kama kawaida kuisifia ccm. anataka mambo ya gesi wangetuma watu wakae waongee sio kuandamana anasisitiza serikali iwahusishe wananchi kwanini manufaa ya gesi kusafirishwa na chanzo cha maandamano ni kwamba wananchi hawakuelewa vizuri mchakato wa gesi , anawaponda chadema walivyotoka bungeni kumtokumtambua rais baada ya uchaguzi,