figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,680
- 59,179
Baada ya watu kumshutumu nape kwamba amekimbia maswali aliyo kuwa akiulizwa na wasikilizaji, sasa ameamua kurudi tena kumalizia kujibu maswali yaliyo baki.
Nape alisema hataki kuulizwa maswali mengine bali anaenda kujibu vipolo vya maswali alivyo bakisha kwa mara ya mwisho alipokuwa wapo radio. Hii imekuja baada ya member wa jamii forums kulalamikia kitendo chake cha kutokujibu maswali.
So wale mlio uliza maswali kaeni mkao wa kula.
mia
Nape alisema hataki kuulizwa maswali mengine bali anaenda kujibu vipolo vya maswali alivyo bakisha kwa mara ya mwisho alipokuwa wapo radio. Hii imekuja baada ya member wa jamii forums kulalamikia kitendo chake cha kutokujibu maswali.
So wale mlio uliza maswali kaeni mkao wa kula.
mia