Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Maadhimisho yameshaanza na Mh Rais JK yuko jukwaani pamoja na waziri wa kazi Kabaka,
Waandamanaji kutoka idara mbalimbali wanapita mbele ya mgeni rasmi ila mabango yao tu ndiyo kiboko kwa mgeni rasmi..mengi yanasema hivi!
Mshahara duni, Mfumuko wa bei na kodi kubwa kwenye mishahara huchangia maisha magumu kwa wafanyakazi...
Halaf mtangazaji anasoma kila bango...inafurahisha sana..
Jk anajichekesha kinafikinafiki kama ana furaha vile...
Waandamanaji kutoka idara mbalimbali wanapita mbele ya mgeni rasmi ila mabango yao tu ndiyo kiboko kwa mgeni rasmi..mengi yanasema hivi!
Mshahara duni, Mfumuko wa bei na kodi kubwa kwenye mishahara huchangia maisha magumu kwa wafanyakazi...
Halaf mtangazaji anasoma kila bango...inafurahisha sana..
Jk anajichekesha kinafikinafiki kama ana furaha vile...