KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
- Thread starter
- #41
Hiki ni kituko cha mwaka, unagombea katika jimbo ambalo huwezi kujipigia kura!! Hapo nina uhakika hata wizi wa kura utaDONT ili kulinda heshima ya wana Meru
Mkuu ukistahajab ya mussa utaona ya firauni katika familia ya marehemu sumari ni yeye peke yake ndiyo alikuwa amejiandikisha arumeru.pata picha!