Live:hali katika vituo arumeru shwari

Live:hali katika vituo arumeru shwari

Status
Not open for further replies.
Shukrani. Ni matumaini yetu utakuwa na nguvu/uchangamfu huo huo kutuletea matokeo..... hata kama ni kinyume na matarajio yako.

endelea mkuu.

Pamoko!atuchenji buku kwa njaa ya mtoto ya siku moja.
 
Tuhabarishe zoezi lakupiga kura litahitimishwa sangapi!
 
Tuhabarishe zoezi lakupiga kura litahitimishwa sangapi!

Saa kumi na baada ya hapo watu watajumuika Usa river kukamilisha zoezi la kusubiri matokeo kutangazwa.huku wakipata support ya chopa 2 za CDM ambapo chopa moja itakuwa imewabeba Kamanda Mbowe na Dr. Slaa na nyingine itambeba Kamanda NAssari na Lema.
Nawasilisha
 
mods unganisheni thread zote za zoezi la upigaji kura bcoz kila mtu akija na yake hapa hapatatosha
 
Komba Jr, endelea kutujuza kinachoendelea huko, Usultani una Mwisho! Leo tuone kipi cha kwanza katika hivi: kutooa au kusali?
 
endelea na moyo huo huo ndugu yangu, usikatishwe tamaa na hawa wafuasi wa magamba!
ukombozi wa tz ni lazima, tuanzie E Arumeru!
 
Mkuu kuna jamaa mmoja amekaa karibu na kituo chakupigia kura Usa river anawatisha vijana kuwa wote walikipigia kura CDM watakiona cha motto!
Mytake:kura ni siri ya mtu na haki ya msingi hivi vitisho vinatoka wapi?
Na Siku ya kupiga kura kampeni haziruhusiwi!!!
Huyo angekua ni M-Chadema wangekwisha kumkamata
 
Komba Jr, endelea kutujuza kinachoendelea huko, Usultani una Mwisho! Leo tuone kipi cha kwanza katika hivi: kutooa au kusali?

katika vituo ambavyo nimepita kuna viongozi wa kata na vijiji wakiuwa umbali wa mita 100 wakijaribu kushawishi watu wamchague mgombea wao kitu ambacho kinawaumiza vichwa ni jinsi vijana walivyo amasika na ukichukulia kuwa vijana wapo CDM.
Wameingiwa na kiwewe na hawana lakufanya
 
endelea na moyo huo huo ndugu yangu, usikatishwe tamaa na hawa wafuasi wa magamba!
ukombozi wa tz ni lazima, tuanzie E Arumeru!

Hakuna kurudi nyuma kamanda tumetukanwa sana,tumedharauliwa sana, tumebezwa sana kisa ni Ubunge wa Arumeru mashariki
 
Inakuwaje mtu anatishia wapiga kura halafu anaachwa hivi hivi? Huo ni uvunjifu wa sheria. Ccm hii ya Kikwete wako tayari kuua au kuona wananchi wanakufa ili mradi wapate ushindi. Roho kama hiyo alikuwa nayo pia Iddi Amin Dada na Mobutu Sese Sseko hapa Afrika. CCM wameishafika huko kwa tamaa ya madaraka waliyonayo

ni kweli mkuu wapo tayari kuua ili washinde ni wauaji hawa!
 
endelea na moyo huo huo ndugu yangu, usikatishwe tamaa na hawa wafuasi wa magamba!
ukombozi wa tz ni lazima, tuanzie E Arumeru!

Kamanda Nassari ameshatimiza haki yake ya msingi kapiga kura katika kata ya songoro kijiji cha kilinga.wakati Sioyi akapiga yupo kura mbezi beach.
 
Hakuna kurudi nyuma kamanda tumetukanwa sana,tumedharauliwa sana, tumebezwa sana kisa ni Ubunge wa Arumeru mashariki

kweli mkuu,sasa adhabu yao ni kny sanduku la kura tu
 
ni kweli mkuu wapo tayari kuua ili washinde ni wauaji hawa!

Yote yana mwisho....haya yote wanayafanya mbele ya waangalizi wa EU katika vituo vyote na ukichukulia kuwa ndiyo wahisani wakuu wa serikali wanashuhudia ujinga wanaoufanya.
 
kweli mkuu,sasa adhabu yao ni kny sanduku la kura tu

Wameru wamehamua kuonyesha umma watanzania pamoja na dunia kwa ujumla kuwa wamechoshwa na utawala wa kiimla na Ccm kwa ujumla.
 
Kamanda Nassari ameshatimiza haki yake ya msingi kapiga kura katika kata ya songoro kijiji cha kilinga.wakati Sioyi akapiga yupo kura mbezi beach.
Hiki ni kituko cha mwaka, unagombea katika jimbo ambalo huwezi kujipigia kura!! Hapo nina uhakika hata wizi wa kura utaDONT ili kulinda heshima ya wana Meru
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom